ARUSHA: MBIO za Meru Pazuri maalumu kwa ajili ya kusaidia watoto wanaozaliwa njiti zitafanyika Septemba 21, 2025 wilayani Arumeru mkoani Arusha. Zikijulikana kama ‘Meru Pazuri Afya Marathon and Festival ‘ zitahusisha kilometa 21,kilimeta 10 na kilometa 5 zimeandaliwa na wadau wa maendeleo katika Halmashauri ya Meru ambapo mbali na kulenga kuchangia vifaa kwa watoto wanaozaliwa … The post Mbio za Meru Pazuri kusaidia watoto njiti first appeared on HabariLeo .