Msongamano wa wagonjwa wapungua hospitali wilaya ya Geita

GEITA: HALMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani Geita imepokea na kutumia kiasi cha fedha sh 893.43 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ili kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Geita. Kaimu Mganga Mfawidhi na Mfamasia wa Hospitali hiyo, Dk Simon Kalumanga ameeleza hayo Septemba 01, 2025 wakati akisoma taarifa ya mradi huo kwa … The post Msongamano wa wagonjwa wapungua hospitali wilaya ya Geita first appeared on HabariLeo .