UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mtazamo kupiga kura kishabiki, bendera fuata upepo
Kama wengi wetu tunavyofahamu, Oktoba 29,2025 ndio siku ambayo taifa letu litafanya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani lakini natamani wale wenye sifa ya kupiga kura, tusipige kura kwa ushabiki ama bendera fuata upepo.