Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha kwa mara nyingine katika safu yetu hii ambapo tunajuzana mambo mbalimbali kuhusu mapenzi na uhusiano. Leo nataka tujadili kuhusu suala la kukubali udhaifu wa mwenza wako na umuhimu wake katika kujenga uhusiano au ndoa itakayodumu kwa kipindi kirefu. Watu wengi ambao wana matatizo katika ndoa au […]