Soko Ilala Boma kuboreshwa, wafanyabiashara wajipanga mapema
Mwananchi

Soko Ilala Boma kuboreshwa, wafanyabiashara wajipanga mapema

Wakati Serikali ikianza michakato ya uboreshaji wa Soko la Nguo na Vyakula Ilala Boma jijini Dar es Salaam, wafanyabiashara sokoni humo, wameanza kujihesabu na kupeana namba ili wasikose nafasi baada ya ukarabati.

Go to News Site