Matumizi akili unde yanavyolazimisha mageuzi makubwa vyuoni
Mwananchi

Matumizi akili unde yanavyolazimisha mageuzi makubwa vyuoni

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Sebastian Kilindima, amesema badala ya kupiga marufuku AI, ni muhimu kubadilisha mfumo wa tathmini ya ujifunzaji ili kupima ujuzi wa juu zaidi.

Go to News Site