Wavuvi watakiwa kuzingatia tahadhari za hali ya hewa
Mwananchi

Wavuvi watakiwa kuzingatia tahadhari za hali ya hewa

Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika Bahari ya Hindi mkoani Tanga wametakiwa kuzingatia na kufuata taarifa za hali ya hewa, ili kujiepusha na ajali zinazoweza kusababisha vifo kutokana na mabadiliko ya yanayotokea.

Go to News Site