bongo5.com
WAKATI mataifa mengi ya Afrika yaliyo Kusini mwa Jangwa la Sahara yakishuhudia kasi kubwa ya ukuaji wa miji, Tanzania imechukua msimamo thabiti wa kudhibiti uendelezaji holela wa makazi pembezoni mwa miji ili kuepuka gharama kubwa za kurekebisha miundombinu baadaye. Akizungumza katika Jukwaa la 13 la Miji Duniani (WUF13) jijini Cairo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya …
Go to News Site