bongo5.com
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kimesema kitaendelea kuimarisha juhudi za kuwawezesha wanawake kiuchumi sambamba na kuwapatia elimu ya sheria ili kuhakikisha wanapata haki zao na kuzitumia kwa manufaa yao na jamii kwa ujumla. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 36 wa Mwaka wa TAWLA, Mwenyekiti wa Bodi ya chama hicho, …
Go to News Site