Collector
Giriş Yap
Wizara yawanoa waandishi Lindi huduma mtandao kwa wananchi | Collector
Wizara yawanoa waandishi Lindi huduma mtandao kwa wananchi

Wizara yawanoa waandishi Lindi huduma mtandao kwa wananchi

Zaidi ya waandishi wa habari 30 wa Mkoa wa Lindi wamepata mafunzo ya siku moja yaliyoandaliwa na Wizara ya Katiba na Sheria ya kuwajengea uwezo wa matumizi ya mfumo wa kutoa malalamiko au taarifa katika kituo cha huduma mtandao.

Go to News Site