Collector
Giriş Yap
Kyecu yaahidi neema kwa wakulima wa ufuta | Collector
Kyecu yaahidi neema kwa wakulima wa ufuta

Kyecu yaahidi neema kwa wakulima wa ufuta

Wakati msimu wa zao la Ufuta ukianza kwa bei ya Sh2,560, wakulima wilayani Kyela mkoani Mbeya wameonesha furaha yao na kupongeza uwazi wa mfumo wa uuzaji, huku serikali ikitoa mwelekeo wa zao hilo kiuchumi.

Go to News Site