Collector
Giriş Yap
Ndugu kortini wakidaiwa kutakatisha Sh310 milioni | Collector
Ndugu kortini wakidaiwa kutakatisha Sh310 milioni

Ndugu kortini wakidaiwa kutakatisha Sh310 milioni

Wakurugenzi wawili wa Kampuni ya Tuzo Business Group of Company Limited, John Kashiha (40) na Lightness Kashiha (32) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la wizi wa Sh310 milioni, mali ya Shirika la Posta Tanzania (TPC).

Go to News Site