Collector
Giriş Yap
Wanafunzi 373 Karatu wanufaika na mradi wa vyoo wa Sh102 milioni | Collector
Wanafunzi 373 Karatu wanufaika na mradi wa vyoo wa Sh102 milioni

Wanafunzi 373 Karatu wanufaika na mradi wa vyoo wa Sh102 milioni

Wanafunzi 373 wa Shule ya Msingi Kambi ya Faru, Kata ya Kansay wilayani Karatu, wamenufaika na mradi wa vyoo vya kisasa wenye thamani ya Sh102 milioni uliotekelezwa na Shirika la World Vision Tanzania, kupitia Endabash Area Programme kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Karatu.

Go to News Site