Mwananchi
Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amewataka watafiti na wadau wa sekta ya afya nchini kuweka mikakati madhubuti itakayoiwezesha Tanzania kujitosheleza kwa dawa, chanjo na vifaa tiba ili kupunguza utegemezi wa bidhaa hizo kutoka nje ya nchi.
Go to News Site