Mwananchi
Kutokana na changamoto zinazoendelea kuwakabilia wananchi wanaoishi maeneo ya uchimbaji madini, wadau wa maendeleo, mashirika ya dini na watetezi wa haki za binadamu kutoka Afrika Mashariki na Ukanda wa Maziwa Makuu wamezindua mwongozo maalumu utakaosaidia wananchi hao kupata haki na fidia stahiki.
Go to News Site