Radio Jambo
Muda wa kutuma maombi ya nafasi za masomo katika vyuo vya Mafunzo ya Ufundi na Stadi (TVET) pamoja na programu za diploma na cheti katika Chuo cha Mafunzo ya Tiba Kenya (KMTC) kupitia mfumo wa KUCCPS unafikia ukomo leo. #KituoChawakenya
Go to News Site