Bibi afungwa jela miaka 30 baada ya kukutwa na bangi | Collector
Mwananchi
Bibi afungwa jela miaka 30 baada ya kukutwa na bangi
Mahakama ya Wilaya ya Mtwara imemuhukumu Hawa Ally (60) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki dawa za kulevya aina ya bangi.