Viongozi wa dini: Elimu iwe ngao dhidi ya ndoa za utotoni | Collector
Mwananchi
Viongozi wa dini: Elimu iwe ngao dhidi ya ndoa za utotoni
Katika mjadala ulioandaliwa na Shirika la Msichana Initiative jijini Dar es Salaam jana Machi 28, 2026, viongozi wa dini wameeleza kuwa elimu ndiyo silaha muhimu zaidi ya kupambana na ndoa za utotoni.