Collector
Fitch Ratings yaipa Tanzania daraja la B+, wachumi wachambua | Collector
Fitch Ratings yaipa Tanzania daraja la B+, wachumi wachambua
Mwananchi

Fitch Ratings yaipa Tanzania daraja la B+, wachumi wachambua

Wachambuzi wameeleza kuwa kitendo cha Tanzania kushikilia daraja lake la mikopo la B+ lenye mtazamo thabiti ni ishara ya uchumi unaokua kwa kasi ya wastani, huku ukiwa na viwango vinavyodhibitiwa vya deni la Taifa.

Go to News Site