bongo5.com
Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Kata ya Mwamakona, Tarafa ya Igurubi, Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora amemchinja mtoto wake mchanga aliyekuwa na umri wa miezi miwili na kumjeruhi mke wake. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani hapa , Richard Abwao ameeleza kuwa tukio hilo limetokea Machi 25, mwaka …
Go to News Site