Mwananchi
Serikali imetoa onyo kali kwa wanaochafua mazingira wakiwemo wazalishaji wa mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku, wanaotupa taka ovyo, kumwaga maji machafu baharini na kusababisha kelele mitaani, ikitangaza hatua za kisheria kuimarisha udhibiti.
Go to News Site