Mwananchi
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ametangaza mpango wa kufanya ziara mkoani Iringa huku akieleza kutoridhishwa na sheria ya maegesho iliyotungwa katika maeneo ya mkoa huo, akisema inaleta mzigo kwa wananchi na inaweza kuwaumiza kiuchumi.
Go to News Site