Mfumo wa NEST ulivyookoa fedha taasisi za umma | Collector
Mwananchi
Mfumo wa NEST ulivyookoa fedha taasisi za umma
Juhudi za Tanzania kuhamisha ununuzi wa umma kidijitali zimeanza kuonyesha matokeo baada ya taasisi kuokoa Sh13.3 bilioni ndani ya mwaka mmoja na Sh35 bilioni ndani ya miaka miwili.