Dk Mwigulu atoa sababu kukatikatika kwa umeme | Collector
Mwananchi
Dk Mwigulu atoa sababu kukatikatika kwa umeme
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema kukatikakatika umeme kunakojitokeza ghafla hivi sasa, si upungufu wa nishati hiyo, bali uimarishaji wa Gridi ya Taifa.