Collector
Zaidi ya kaya 1,800 zaathirika kwa mafuriko Mvomero | Collector
Zaidi ya kaya 1,800 zaathirika kwa mafuriko Mvomero
Mwananchi

Zaidi ya kaya 1,800 zaathirika kwa mafuriko Mvomero

Hali ya huzuni, simanzi na sintofahamu imetawala miongoni mwa waathirika wa mafuriko wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, huku baadhi yao wakieleza kupoteza kila walichokuwa nacho baada ya mvua kubwa kunyesha kwa nyakati tofauti.

Go to News Site