Mwananchi
Baadhi ya wasafirishaji wamesema hali hiyo imeanza kuwauma. Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Usafiri wa Barabara, Shukuru Mlawa, amesema magari yameanza kupungua barabarani kutokana na matajiri na madereva kushindana hesabu.
Go to News Site