Collector
HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu | Collector
HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu
HabariLeo

HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza mwaka 2026 kwa kasi ikivuka malengo kwa kukusanya zaidi ya Sh bilioni 60.83 za ukusanyaji wa marejesho ya mikopo kwa miezi mitatu mfululizo. The post HESLB yakusanya bil 60/- miezi mitatu first appeared on HabariLeo .

Go to News Site