Collector
Madereva sita wakamatwa kwa ulevi, wafungiwa leseni miezi sita Mwanza | Collector
Madereva sita wakamatwa kwa ulevi, wafungiwa leseni miezi sita Mwanza
Mwananchi

Madereva sita wakamatwa kwa ulevi, wafungiwa leseni miezi sita Mwanza

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata madereva sita wa magari kwa kosa la kuendesha vyombo vya moto wakiwa wamelewa pombe, huku leseni zao zikifungiwa kwa muda wa miezi sita.

Go to News Site