Mwananchi
Akizungumza wakati wa shughuli za kuwaenzi waasisi hao, Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema viongozi hao walifanya mapinduzi makubwa yaliyowezesha kupatikana kwa maendeleo, amani na mshikamano uliopo Zanzibar leo.
Go to News Site