Mwananchi
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewaonya watumishi wa Serikali wenye tabia ya kuchukua vizimba vya biashara katika masoko bila kuvifanyia shughuli yoyote, akisema tabia hiyo ni ya ulanguzi na inawaumiza wafanyabiashara halali wanaotegemea maeneo hayo kujipatia kipato.
Go to News Site