Mwananchi
Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Songea, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Deo Ramadhani, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua Melania Christian na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara ya Mahinya, Songera.
Go to News Site