Mwananchi
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema kuna kila sababu kuendelea kumkumbuka na kumuezi hayati Abeid Amani Karume kutokana na ujasiri wake kufanikisha kuongoza Mapinduzi ambayo aliondoa kiza kilichokuwa kimetanda katika kisiwa hicho.
Go to News Site