bongo5.com
Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu, Prof. Penina Mlama, ametangaza orodha teule ya waliopendekezwa kuwania tuzo hiyo katika hafla itakayofanyika tarehe 13/4/2026 katika ukumbi wa Superdom Masaki jijini Dar salaam. Washindi hao wa kila nyanja wamepatikana kutoka kwenye miswada 260 iliyofanyiwa kazi na majaji wa tuzo hiyo ikihusisha …
Go to News Site