Nyumba ya urithi yagonganisha familia, mjane aomba msaada | Collector
Mwananchi
Nyumba ya urithi yagonganisha familia, mjane aomba msaada
Mjane amesema haoni kama Sh8 milioni atakazopata kwenye mgawo huo zitatosha kupata nyumba nyingine na kwa mazingira ya mtoto wake mwenye ulemavu, si rahisi kupata sehemu ya kupanga.