Collector
Mbunge ataka uwajibikaji kwa mawaziri wenye majibu yasiyo na tija | Collector
Mbunge ataka uwajibikaji kwa mawaziri wenye majibu yasiyo na tija
Mwananchi

Mbunge ataka uwajibikaji kwa mawaziri wenye majibu yasiyo na tija

Suala la uwajibikaji wa watumishi wa umma katika kushughulikia kero za wananchi na kusimamia utekelezaji wa maagizo ya viongozi wa kitaifa, leo limeelekezwa pia kwa mawaziri na naibu mawaziri, wakitakiwa kutoa majibu yenye utekelezaji wanapojibu hoja za wabunge bungeni.

Go to News Site