Hofu Zimbabwe mabadiliko ya katiba yakishika kasi | Collector
Mwananchi
Hofu Zimbabwe mabadiliko ya katiba yakishika kasi
Mabadiliko hayo yanatazamwa kama mapinduzi dhidi ya nguvu ya umma huku wanasiasa wakieleza kuwa ni njama za chama tawala kuendelea kung’ang’ania madarakani bila ridhaa ya wananchi.