bongo5.com
Tanzania imeendelea kung’ara katika anga la kimataifa baada ya kuingiza vipengele 41 katika Tuzo za Utalii na Usafirishaji Duniani World Travel Awards, hatua inayoimarisha nafasi yake kama moja ya vinara wa utalii barani Afrika. Akizungumza, Aprili 11,2026 jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB, Paulina Mkama, amesema …
Go to News Site