Mwananchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa ametangaza operesheni maalumu na isiyo na ukomo dhidi ya wahalifu wanaojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya pamoja na matukio ya uvunjifu wa amani katika Wilaya ya Ukerewe.
Go to News Site