Mwananchi
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adamu Malima, amelielekeza Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kupitia kitengo chake cha masoko kutoa elimu kwa wananchi kuhusu faida za matumizi ya majiko ya kisasa ya umeme, pamoja na kuondoa hofu iliyojengeka kuhusu usalama wake.
Go to News Site