Mwananchi
Baadhi ya wanafunzi katika Shule ya Msingi Churwa iliyopo Kata ya Muhinduro, Tarafa ya Maramba wilayani Mkinga mkoani Tanga, wanalazimika kujifunzia chini ya miti kutokana na uhaba mkubwa wa madarasa hali inayowaathiri kitaaluma na kupunguza ufanisi wa ujifunzaji wao.
Go to News Site