Mwananchi
Mahakama ya Rufani imetupilia mbali rufaa ya kupinga hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa fundi seremala, Alex Julius baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake, Kudura Hamis baada ya kujiridhisha ushahidi wa mashtaka ulithibitisha kosa hilo.
Go to News Site