Mamlaka za maji zabainika kutofikia lengo la upatikanaji wa huduma | Collector
Mwananchi
Mamlaka za maji zabainika kutofikia lengo la upatikanaji wa huduma
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini mamlaka za maji katika kanda nne nchini zimeshindwa kufikia viwango vinavyotakiwa vya upatikanaji wa maji.