Collector
Uuzaji, ugawaji viwanja Manispaa Kibaha wasababisha hasara Sh11.93 bilioni | Collector
Uuzaji, ugawaji viwanja Manispaa Kibaha wasababisha hasara Sh11.93 bilioni
Mwananchi

Uuzaji, ugawaji viwanja Manispaa Kibaha wasababisha hasara Sh11.93 bilioni

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amefichua ukiukwaji mkubwa wa taratibu katika usimamizi wa mapato ya umma, baada ya uchunguzi wa ukaguzi kubaini kuwa viwanja 168 vyenye thamani ya Sh4.09 bilioni viliuzwa nje ya mfumo rasmi wa Tausi uliothibitishwa na halmashauri.

Go to News Site