Tanzania ya elimu kidijitali inawezekana | Collector
Mwananchi
Tanzania ya elimu kidijitali inawezekana
Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo imetoa vifaa vya Tehama vyenye thamani ya zaidi ya Sh700 milioni kwa shule za msingi na sekondari 19 zilizopo katika mikoa 9 ya Tanzania Bara na Zanzibar.