Mwananchi
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetangaza kifo cha Askofu wa Jimbo Katoliki Kondoa, Bernardin Francis Mfumbusa, kilichotokea Aprili 14, 2026 majira ya saa 11:45 asubuhi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), alipokuwa amelazwa kwa matibabu ya dharura.
Go to News Site