HabariLeo
MASHINDANO ya urembo ya Miss Tanzania yameingia katika sura mpya baada ya jukumu la kuyaendesha kukabidhiwa rasmi kwa taasisi ya Lamata Village, hatua inayotarajiwa kurejesha hadhi na mvuto wa shindano hilo lenye historia kubwa nchini. The post Miss Tanzania yakabidhiwa Lamata Village first appeared on HabariLeo .
Go to News Site