Radio Jambo
Hugo alilazimika kutoka uwanjani jana katika dakika ya 30 wakati wa mpambano kati ya The Reds na PSG akiwa ameshikilia kifundo chake cha mguu wa kulia. Coach Arne Slot anasema jeraha hilo la Hugo linaonekana kuwa baya lakini wanasubiria vipimo zaidi. #GidiNaGhostAsubuhi
Go to News Site