bongo5.com
Punchline Africa imetangaza rasmi uzinduzi wa Punchline International Comedy Festival PICF 2026, tamasha la kimataifa la vichekesho litakalofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 25 Mei hadi 1 Juni 2026 Tamasha hili litawakutanisha wachekeshaji kutoka nchi mbalimbali za Afrika kwa kipindi cha wiki moja, likijumuisha maonesho mbalimbali, shughuli za vyombo vya habari, pamoja na ubadilishanaji …
Go to News Site