Walichokisema viongozi wa Chadema baada ya kifungo | Collector
Mwananchi
Walichokisema viongozi wa Chadema baada ya kifungo
Hatua hiyo imekuja kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Rufani kuondoa zuio lililokuwa limewekwa na Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, lililokizuia chama hicho kufanya shughuli za kisiasa.