Mwananchi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe amesema Serikali ipo katika mchakato wa kuandaa andiko la mradi wa ‘Sifa’ utakaokarabati shule zote chakavu za awali, sekondari, msingi na kongwe.
Go to News Site